Headlines News :
Home » » PICHA 10 ZA MAZISHI YA MAREHEMU OMARI OMARI NA VURUGU ZILIZOJITOKEZA

PICHA 10 ZA MAZISHI YA MAREHEMU OMARI OMARI NA VURUGU ZILIZOJITOKEZA

Written By Unknown on Saturday, January 12, 2013 | 4:32 AM

Baadhi ya wasanii wakibadilishana mawazo kabla ya mazishi.
Waombolezaji akina mama.
Dully Syaks (katikati) akiwa na mapacha Sunche na Kapeto.
Baadhi ya wanamuziki wa kizazi kipya.
 
Mlevi nmmoja akicheza mbele ya waombolezaji.
Mwili wa marehemu ukisaliwa nyumbani kabla ya kupelekwa makaburini.
Umati ukiwa tayari kwenda makaburini.
Vurugu zikiendelea wakati wa kwenda kuzika.
Vijana waliosababisha vurugu wakisukumana.
Wabeba jeneza wakiwa wanatembea kwa magoti.
MWANAMUZIKI mkongwe wa miondoko ya  mnanda, Omar Omar Mfungilo,  ambaye alifariki usiku wa kuamkia jana ( Jumatatu) nyumbani kwao Temeke-Mkoroshini amezikwa leo katika makaburi ya karibu na nyumbani kwao.
Mazishi hayo ambayo yalihudhuriwa na  watu wengi,  yalitawaliwa na vurugu ambazo zilisababisha baadhi ya waombolezaji kuporwa vitu vyao kama simu, pesa, saa na vitu vingine.
Wakati wa kwenda kumzika, vijana waliojiita ‘kikosi kazi cha mazishi’ waling’ang’ania jeneza lililobeba mwili wa marehemu na kulipeleka wao makaburini huku baadhi  yao wakifanya vitendo vya uporaji njiani wakati wa kwenda kumzika.
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Tutafute katika Facebook

Followers

SIKILIZA MZIKI

 
Thanx to: Eddie Sucre | Boniface Joseph | Brown Best
Copyright © 2011. Uwanja Wa Habari Na Burudani - All Rights Reserved
Imetengenezwa Na Gody Godwin Unstoppable Nipigie kwa 0714 13 73 02
Proudly powered by Blogger